Kuna tofauti za wazi kati ya imani ya wale waliozaliwa upya na ile ya wakristo wa mazoea: imani ya wale waliozaliwa upya inafahamu na kuamini kuwa Mungu amezifuta dhambi zao zote, na imani ya wakristo wa mazoea inamwamini Yesu kwa kuyategemea mawazo yao binafsi, ni kama suala la kidini tu. Pamoja na hayo wale wanaomwamini Mungu kama sehemu ya masuala ya kidini wanafanikiwa sana kiasi kuwa wale wanaohubiri ukweli halisi wanaumizwa moyo pale wanapowaona watu hawa wenye imani potofu wakiyaeneza mafundisho yao ya uongo huku wakifanikiwa. Wanaumizwa mioyo kwa sababu wanafahamu wazi kuwa Wakristo wengi sana wanaletwa katika dini hiyo ya uongo na udanganyifu.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Uzio wa ua wa mstatiri wa Hema Takatifu la Kukutania ulikuwa na kipimo cha dhiraa 100 kwa urefu. Katika Biblia, dhiraa ilihesabiwa kutokana na...
Vifaa: Ilitengenezwa kwa shaba, ilikuwa imejazwa maji wakati wote.Maana ya kiroho: Shaba inamaanisha hukumu ya dhambi zote za wanadamu. Ili kubeba adhabu ya dhambi...
Katika sura ya 17 ya kitabu cha Mwanzo, agano la tohara ambalo Mungu amelianzisha na kulithibitisha na Ibrahimu linatuonyesha sisi juu ya tohara ya...