Nitapenda kujadili juu ya imani inayodhihirishwa katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa. Wakati watu wa Israeli walipovunja mojawapo ya kanuni 613 za Sheria ya Mungu na maagizo yake ambayo walipaswa kuyatii katika maisha yao ya kila siku, na walipozitambua dhambi zao walimtolea Mungu sadaka isiyo na mawaa kwa mujibu wa utaratibu wa sadaka ya kuteketezwa uliowekwa na Mungu. Mahali walipozitolea sadaka hizi ni katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa. Kwa maneno mengine, watu wa Israeli, walipokea ondoleo lao la dhambi kwa kuiweka mikono yao katika kichwa cha mnyama wa sadaka asiye na mawaa, na kwa kukata koo la mnyama na kuikinga damu yake, na kuiweka damu hiyo katika pembe za madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kisha kuimimina ardhini damu iliyosalia, na hatimaye kumchoma mnyama huyo katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Uzio wa ua wa mstatiri wa Hema Takatifu la Kukutania ulikuwa na kipimo cha dhiraa 100 kwa urefu. Katika Biblia, dhiraa ilihesabiwa kutokana na...
Ninaiheshimu na kuitamani sana imani ya Ibrahimu kama inavyoonyeshwa katika Biblia. Tunapoiangalia imani ya Ibrahimu, tunaweza kuona mateso na juhudi ya imani yake ambayo...
Mungu alimwamuru Musa kwenda juu katika Mlima Sinai na akampatia mtitiriko mzima wa Sheria yake. Kwanza kabisa, alimpatia Musa Amri Kumi: “Usiwe na miungu...